Wakazi ataka mixtape zikubalike

msanii wa miondoko ya Hip Hop nchini Wakazi

Msanii wa Hip Hop hapa Bongo, Wakazi amesema kuwa kuna umuhimu mkubwa wa wasanii kuendelea kufanya Albam na pia mixtape, na pia mchango wao kutambulika kwa upande wa tuzo za muziki ambazo zinatolewa hapa Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS