Mayweather ampiga Pacquiao na kutwaa taji la WBC
Bondia mmarekani Floyd Mayweather leo ametwaa taji la Ubingwa wa ndondi la Walter weight, linalotambuliwa na Shirikisho la Masumbwi Duniani – WBC baada ya kumshinda kwa alama nyingi, hasimu wake wa muda mrefu, bondia mfilipino Manny Pacquiao.