Wafanyabiashara nchini watakiwa kuwekeza Msumbiji Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi. Rais wa Msumbiji Filipe Jacinto Nyusi amewataka Wafanyabiashara wa Tanzania kwenda kuwekeza nchini Msumbiji kwa kuwa nchi hiyo ina fursa nyingi ambazo zinahitaji wawekezaji kutoka nje. Read more about Wafanyabiashara nchini watakiwa kuwekeza Msumbiji