DARCOBOA wasema hawana mpango wa kushiriki mgomo Mwenyeekiti wa DARCOBOA Sabri Mabrouk Chama cha wamiliki wa daladala jijini Dar es salaam DARCOBOA kimesema hakina mpango wa kushiriki wala kuunga mkono mgomo wowote ule wa mabasi nchini. Read more about DARCOBOA wasema hawana mpango wa kushiriki mgomo