Serikali na wadau watakiwa kuisaidia Twiga Stars

Serikali na wadau wa soka nchini wametakiwa kujitokeza kuisaidia timu ya Taifa ya wanawake Twiga Stars ambayo inaendelea na maandalizi ya kushiriki michuano ya All African Games inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba nchini Congo Brazzaville.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS