Mgombea urais hatakiwi kuwa na Doa- Jaji Ramadhani

Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani alikwenda kuchukua fomu za kugombea urais.

MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), anayewania kuteuliwa na chama chake katika nafasi ya Urais, Jaji Augustino Ramadhani ametaja sifa za mtu anayefaa kuwa Rais wa Tanzania kuwa ni pamoja na kuwa muadilifu na asiyekuwa na doa lolote.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS