CCM yaitaka serikali kuondoa muswada wa habari

Nape Nnuye katika mkutano wa hadhara wilayani Misungwi

Chama cha mapinduzi kimeitaka serikali kusikiliza ombi la wamiliki na wadau wa habari, kuondoa sheria ya haki ya kupata habari mpaka pale wadau wote watakapojadiliana na kukubaliana ndipo ikajadiliwe bungeni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS