Gaudencia Kabaka waziri wa kazi na ajira ambae pia anawania kuteuliwa kuwa mgombea Ubunge jimbo la Musoma Mjini
Hatimaye uongozi wa chama cha mapindizi ccm wilaya ya tarime umetangaza leo kufanyika kwa uchaguzi wake wa kura za maoni kwa ajili ya kuwapata wagombea wa nafasi za udiwani na ubunge,