Tenisi walemavu yaenda Kenya kutetea Ubingwa wake

Wachezaji wa timu ya walemavu wa Tanzania wakijifua jijini Dar es Salaam.

Msafara wa watu 10 wa kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania mchezo wa tenisi kwa walemavu wheel chair tennis kikiwa na wachezaji 9 na kocha mmoja kinaondoka Alfajili ya jumatatu kuelekea jijini Nairobi nchini Kenya kikiwa na matumaini makubwa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS