Octopizzo aguswa na wakimbizi

Rapa Octopizzo akiwa na vijana wakati alipotembelea Shirika la Wakimbizi Duniani (UNHCR) nchini Kenya

Rapa Octopizzo ametumia wakati wake kuzungumza na watoto wa wafanyakazi wa Shirika la Wakimbizi Duniani (UNHCR) kwa upande wa Kenya juu ya umuhimu wa kusaidia na kuwaonyesha uhalisia wa maisha ya wakimbizi kwa ili kujenga ufahamu wao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS