Octopizzo aguswa na wakimbizi
Rapa Octopizzo ametumia wakati wake kuzungumza na watoto wa wafanyakazi wa Shirika la Wakimbizi Duniani (UNHCR) kwa upande wa Kenya juu ya umuhimu wa kusaidia na kuwaonyesha uhalisia wa maisha ya wakimbizi kwa ili kujenga ufahamu wao.

