CHADEMA yakubali maamuzi ya Dkt. Slaa
Chama cha Demokrasia na Maendeleo nchini Tanzania CHADEMA kimesema hakipo tayari kumsubiri Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dkt. Wilbrod Slaa kutokana na kutokubaliana maamuzi mbalimbali yaliyofanywa hivi karibuni na chama hicho ikiwemo suala la mgombea