Mfumo mpya umechangia mapungufu ya kikosi - Manula
Mlinda mlango wa Mabingwa wa Kombe la Kagame, Timu ya Azam FC Aishi Manula amesema, sababu za Kocha wa Timu hiyo Stewart Hall kuona mapungufu katika kikosi hicho ni kutokana na kuwa na muda mchache wa kupokea na kuelewa mfumo mpya wa kocha wao.