Hemed PHD ampa shavu Mr Blue

Msanii wa muziki ambaye pia ni muigizaji nyota wa filamu nchini Tanzania Hemed PHD

Akiwa anafanya vyema na wimbo wake 'Imebaki Story' msanii wa muziki ambaye pia ni muigizaji nyota wa filamu wa nchini Tanzania Hemed PHD hivi sasa ameamua kumpa shavu msanii Mr Blue katika ngoma mpya inayosukwa hivi karibuni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS