Mh. John Pombe magufuli akiwa na Mgombea Mwenza Samia Suluhu wakati wakitambulishwa
Mgombea wa Nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Magufuli leo anatarajia kuchukua fomu ya kugombea kiti hicho katika ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC jijini Dar es Salaam.