JK kufanya ziara Mkaoni Mtwara kuanzia Agosti 9

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.

Wananchi mkoani Mtwara wamekuwa na maoni tofauti juu ya ujio wa Rais Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete mkoani humo, ambaye atafanya ziara na kuzindua baadhi ya miradi ya maendeleo ikiwa ni pamoja na jengo la Benki Kuu ya Tanzania B.O.T Mtwara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS