JK kufanya ziara Mkaoni Mtwara kuanzia Agosti 9
Wananchi mkoani Mtwara wamekuwa na maoni tofauti juu ya ujio wa Rais Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete mkoani humo, ambaye atafanya ziara na kuzindua baadhi ya miradi ya maendeleo ikiwa ni pamoja na jengo la Benki Kuu ya Tanzania B.O.T Mtwara.