Kura za maoni sio Maamuzi ya Mwisho-Nape
Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania CCM, kimesema kuwa kura za maoni sio hatua ya mwisho ya kuteuliwa kuwa mwakilishi wa kugombea katika jimbo lakini vikao vya juu vya chama hicho ndio vitatoa maamuzi ya Mwisho juu ya Mgombea.