Tutatengeneza Uchumi shirikishi-ACT-Wazalendo

Mgombea Urais Kupita chama cha ACT-Wazalendo Anna Elishia Mghwira akihutmia mamia ya Wananchi waliojitokeza katika siku ya Uzinduzi wa Kampeni ya Chama hicho

Chama cha ACT-Wazalendo jana kimezindua kampeni zake za urais, wabunge na madiwani kwa nchi nzima katika viwanja vya Zakhiem jijini Dar es Salaam huku wakiweka vipaumbele vinne katika ilani yao kwa ajili ya Maendeleo ya Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS