Magufuli amaliza Njombe,Kuanza Ruvuma leo

Mgombea urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli mkoani Njombe jana.

Mgombea Urais kupitia chama cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Pombe Magufuli amemaliza ziara yake katika mkoa wa Njombe na kuwaomba Watanzania kumchagua kwa kuwa ana mpango wa kuijenga Tanzania mpya ndani ya Chama hicho.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS