Lipumba ang'atuka asema bado ataitumikia nchi

Aliyekuwa Mwenyekiti wa chama cha CUF taifa, Profesa Ibrahimu Lipumba akionyesha Rasimu ya Katiba pendekezwa ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wananchi (CUF) Prof. Ibrahim Lipumba ametangaza rasmi kujiuzulu wadhifa huo kwa kile alichodai kuwa kunatokana Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA kushindwa kuenzi tunu za taifa za utu, uzalendo, uadilifu, umoja, uwazi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS