Kozi ya waamuzi wavu Septemba 7 Dar es salaam
Chama cha Mpira wa wavu mkoa wa Dar es salaam DAREVA kimesema kinatarajia kutoa kozi kwa waamuzi wa mchezo wa wavu wa Ufukweni na Uwanjani ili kuwa na waamuzi wengi watakaoweza kuchezesha mashindano ya Klabu Bingwa Taifa.