Lowassa aanza Iringa,Duni aacha mzozo Mtwara

Wagombea Urais wa UKAWA Edward Lowassa na Juma Duni Haji.

Mgombea urais wa vyama vinavyounda (UKAWA) Mh. Edward Lowassa akiambatana na waziri mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye wameanza kazi ya kunadi sera zao mikoani katika mkoa wa Iringa huku wakiendelea kuungwa mkono na maelfu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS