UKAWA waanza mbio zao, elimu kipaumbele cha kwanza
Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA akiwakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA, Mh. Edward Lowassa
Chama Cha Demokrasi na Maendeleo kupitia Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) leo kimezindua rasmi kampeni za urais ambapo uzinduzi huo umeshuhudia umati wa watu wakijitokeza.