Moto wateketeza maduka 6 Morogoro

Moto wateketeza maduka sita Mkoani Morogoro

Moto umeteketeza maduka 6 katika soko kuu la mjini Morogoro na kusababisha hasara baada ya bidhaa mbalimbali kuteketea kabisa ambapo wafanyabaishara wakitupia lawama shirika la umeme tanzania Tanesco kutokana na kukatikakatika kwa umeme.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS