EAC kutafuta utaratibu mzuri wa manunuzi ya umma

Makamu wa Rais Dakta Mohamed Gharib Bilal

Makamu wa Rais Dakta Mohamed Gharib Bilal amesisitiza umuhimu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kujitathimini zenyewe na kutafuta utaratibu mzuri kwenye Sekta ya manunuzi ya umma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS