Timu za taifa kuelekea Congo Brazzaville leo

Timu ya Taifa ya Tanzania yenye wachezaji wapatao 30 na viongozi 7 wa michezo mbalimbali inatarajia kuondoka jijini Dar es Salaam leo jioni na ndege maalum kuelekea Congo Brazaville kushiriki katika michezo ya Afrika (All Africa Games).

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS