Si CCM,si UKAWA hakuna wa kutoa Rais-Zitto Kabwe
Chama cha ACT wazalendo kimewataka Watanzania kutodanganyika na sifa wanazovikwa baadhi ya wagombea wa urais katika kipindi hiki cha uchaguzi kwani baadhi yao wameshindwa kudhibiti wizi na ubadhirifu wa mali ya umma katika nyadhifa walizokuwa nazo.