Shein azindua mnara wa kumbukumbu ya mapinduzi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiongea wakati wa ufunguzi wa Mnara huo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein amewalaumu na kuwaita wapinga maendeleo baadhi ya watu wanaodai serikali imekuwa ikitumia fedha kwa mambo yasiyo ya lazima na kutojali sekta za kijamii.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS