Wahandisi wazawa wana uwezo wa kuleta maendeleo Katibu Mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue Katibu mkuu kiongozi balozi Ombeni Sefue amesema wahandisi wazawa wana uwezo mkubwa sawa sawa na wa kutoka nje na wakitumika vizuri watailetea nchi maendeleo na kufikia uchumi wa kati mwaka 2025. Read more about Wahandisi wazawa wana uwezo wa kuleta maendeleo