Staa wa muziki wa nchini Kenya Sudi katika picha akiwa na marehemu mke wake Salma Lutevesi
Mke wa Staa wa muziki wa Mombasa nchini Kenya Sudi Boy, Salma Lutevesi anatarajiwa kuzikwa leo kwa taratibu za kiislamu baada ya kupoteza maisha siku ya jumapili kwa maradhi ya homa ya mapafu.