Cindy asakwa na polisi

Ken, Cindy & Phina

Msanii wa muziki wa nchini Uganda, Cindy Sanyu ameripotiwa kuwa mafichoni akisakwa na polisi baada ya tukio la kumshambulia hasimu wake, msanii wa muziki Phina Mugerwa ambaye kwa muda sasa wamekuwa hawaelewani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS