Tenisi walemavu waomba sapoti ya vifaa kwa wadau

Moja ya wachezaji wa mchezo wa tenisi kwa walemavu akifanya mazoezi jijini Dar es Salaam.

Watanzania, taasisi na makampuni mbalimbali zenye uwezo kifedha wamepewa wito kuisaidia vifaa timu ya taifa ya mchezo wa tenisi ya walemavu ya Tanzania ambayo hivi karibuni imetoka kushiriki mashindano ya kimataifa ya Nairobi nakushika nafasi ya pili

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS