Ne-Yo kufanya kazi na mastaa EA

Nyota wa muziki RnB wa nchini Marekani Ne-Yo

Baada ya taarifa za ujio wa staa wa muziki wa R&B wa kimataifa Neyo nchini Kenya, mkali huyo anatarajiwa kukutana, pia kutoa nafasi ya uwezekano wa kufanya kazi pamoja na wasanii wanaofanya vizuri hapa Afrika Mashariki.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS