Vanessa awataka vijana kujitathimini

staa wa muziki wa bongofleva nchini Vanessa Mdee

Ikiwa leo ni maadhimisho ya siku ya Vijana Duniani, staa wa muziki Vanessa Mdee ametoa ujumbe kwa vijana kutumia nafasi hii kufanya tathmini ya harakati zao katika safari kuelekea kutimiza ndoto zao katika shughuli zao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS