Mayunga: Akon bado yupo bize

nyota wa muziki nchini Tanzania Mayunga akiwa stejini na staa wa muziki Akon

Nyota wa muziki Mayunga, ameeleza kuwa mkataba wake mnono wa kufanya kazi chini ya usimamizi wa Akon, bado haujaanza kutokana na nafasi ya staa huyo wa kimataifa kubana, hususan kupitia projekti yake kubwa ya kusambaza umeme Afrika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS