Makundi Dance 100% yapigwa semina

Moja ya madansa kutoka kundi la Cute Babies akionyesha CD ya nyimbo waliyojichagulia

Makundi 10 ambayo yamefanikiwa kuingia katika hatua ya nusu fainali ya michuano ya Dance 100 2015, leo hii yameweza kupatiwa semina elekezi sambamba na kuchagua miziki ambayo watatumia katika mzunguko wa kwanza wa michuano hiyo tarehe 19 mwezi huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS