Tupo mbioni kumaliza tatizo la mshambuliaji - Kerr Kocha Mkuu wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amesema kuwa, sasa kikosi chake kinakabiliwa na tatizo moja la mshambuliaji pekee ambalo yupo mbioni kulitatua kabla ya kuanza kwa ligi kuu. Read more about Tupo mbioni kumaliza tatizo la mshambuliaji - Kerr