Dru Hill, Jagged Edge kutua Nai
Wasanii wa kundi kongwe la muziki la la Dru Hill na Jagged Edge kutoka Marekani, wanatarajiwa kuitikisa Afrika Mashariki ambapo watatua Kenya mwezi Oktoba kwa ajili ya onesho kubwa na la mara ya kwanza kabisa katika eneo hili la Afrika.

