Wanne wafa katika ajali ya basi Tanga

Basi la Metro lililopata ajali wakati likitokea Moshi kwenda Dar es Salaam.

Watu wanne wamefariki dunia wakiwemo watatu wa familia moja na wengine 35 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Manga kilichopo wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS