Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Bw,James Mbatia.
Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) Bw. James Mbatia ameitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutenda haki katika uchaguzi mkuu ili kudumisha amani na usalama.