Wakulima walazimika kuuza mazao bei chee kujitibu

Wakulima wakiwa Shambani wakiangalia Ustawi wa Mazao yao

Wakulima wengi nchini wanalazimika kuuza mazao yao kwa bei chini pale wanapougua ili kupata fedha za matibabu na hivyo kuendelea kuwa na hali duni ya maisha, changamoto ambayo inaweza kuondolewa kwa kuhamasisha wakulima kujiunga na mfuko wa taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS