Viasharia vya chuki vinajitokeza Tanzania: Ndahiro

Mwanaharakati wa kupinga ubaguzi toka Rwanda Tom Ndahiro

Mwanaharakati wa kupinga ubaguzi toka Rwanda Tom Ndahiro amesema kuwa ubaguzi, chuki na maandishi yaliyosababisha wanyarwanda kuingia katika vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Rwanda sasa yanaandikwa hapa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS