BFT yalalamikia uchache wa wanamichezo Tanzania

Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania BFT limesema, kushindwa kwa wanamichezo mbalimbali ikiwemo kwa upande wa mabondia imechangiwa na kupeleka wanamichezo wachache katika mashindano ya All African Games.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS