Wanachama Yanga kukutana kupitia katiba Klabu ya Yanga imesema, wanachama wanatarajia kukutana hivi karibuni kwa ajili ya kuipitia katiba ambayo imeshafanyiwa marekebisho kwa ajili ya kupanga tarehe rasmi ya uchaguzi mkuu wa Klabu hiyo. Read more about Wanachama Yanga kukutana kupitia katiba