Maji yasababisha kuzorota huduma za afya Dodoma Foleni ya kuchoka maji ya Bomba,katika moja ya vitongoji nchini Tanzania Wahudumu katika vituo vya afya mkoani Dodoma hulazimika kuchota maji nje ya vituo hivyo ili kuwahudumia wagonjwa wanaofika kupatiwa matibabu. Read more about Maji yasababisha kuzorota huduma za afya Dodoma