Bobi ang'ata na kupuliza ugomvi wake na Bebe

Bobi Wine | Bebe Cool

Bobi Wine amezungumza ugomvi unaohisiwa kuwepo kati yake na Bebe Cool ambaye ni mshindani wake mkubwa katika tasnia ya muziki Uganda na kueleza kuwa binafsi hana muda wa kugombana na msanii huyo, zaidi ya kumrekebisha na kumkosoa pale anapokosea.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS