"Hapa kazi tu" Maafisa Mpanda wasimamishwa kazi
Serikali ya mkoa wa Katavi imemsimamisha kazi mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mpanda na maafisa wengine wa Halmshauri hiyo ili kupisha uchunguzi dhidi ya ubadhirifu wa miradi mbalimbali ya wilaya hiyo.