Yanga kuweka kambi Bagamoyo

Mabingwa watetezi wa soka Tanzania Bara, Yanga wanatarajia kuweka kambi Mjini Bagamoyo ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya muendelezo wa michuano ya Ligi kuu inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi Desemba 12 mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS