Barcelona yaipiku Real Madrid rekodi ya mabao.

Klabu ya Barcelona imeweka rekodi mpya kwenye ligi kuu ya soka nchini Hispania baada ya kuwapiku mahasimu wao Real Madrid kwa kufikisha mabao 180 kwa mwaka baada ya hapo jana kuicharaza Real Betis bao 4-0 kwenye mchezo wa la liga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS