JARMIE VARDY AIPA PIGO LEICESTER CITY. Mshambuliaji hatari wa Leicester City Jarmie Vardy ambaye atakaa nje ya uwanja kwa wiki mbili katika moja ya mechi za ligi kuu nchini Uingereza Nyota wa klabu ya Leicester City Jamie Vardy ameripotiwa kuwa atakuwa nje ya Uwanja kwa Wiki mbili baada ya kufanyiwa operesheni ndogo ya Nyonga. Read more about JARMIE VARDY AIPA PIGO LEICESTER CITY.