Mwanangu anastahili kucheza nje-Abubakar Salum Kiungo wa kati wa Azam FC Salum Abubakar (Sureboy) Kila mzazi ana ndoto za kijana wake kufanikiwa katika michezo, hasa kucheza nje ya nchi, katika michezo kama soka, tenesi, riadha, mpira wa kikapu na mingineyo. Read more about Mwanangu anastahili kucheza nje-Abubakar Salum