Mume wa Celine Dion afariki dunia

Celine Dion akiwa na aliyekuwa mume wake Rene Angelil

Mume wa mwanamuziki Celine Dion ambaye pia aliwahi kuwa meneja wake, Rene Angelil, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 73, mwanamuziki huyo amesema.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS