Mabadiliko ya masoko yameua Viwanda-Dkt. Nyantahe

Mwenyekiti wa Shirikisho la Wamiliki wa Viwanda nchini Tanzania (CTI)Dr.Samuel Nyantahe

Viwanda vingi nchini vimekufa na kuacha kuendelea kuzalisha na kuuza mali kutokana na ubadilikaji wa masoko ya nje, ukosefu wa mali ghafi na sera zetu nyingi zinazotungwa hazizingatii kuinua viwanda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS