Ligi daraja la kwanza kuendelea kesho

Ligi Daraja la Kwanza inaendelea wikiendi hii kwa michezo 12 kuchezwa katika viwanja mbalimbali, huku timu 3 za juu ambao ni vinara kutoka katika kila kundi zikipata nafasi ya kupanda ligi kuu msimu ujao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS